Maombi ya Ushiriki katika Mradi wa uwezeshaji kiuchumu_RISE/E Futuremakers Tanzania

YoWDO kwa kushirikiana na Sightsavers tunawaalika vijana wenye ulemavu wa kike na wakiume wenye miaka 18-35 wanaoishi mkoa wa Dar es Salaam kutuma maombi ya kushiriki kwenye Mradi wa Ready for Inclusive Sustainable employment and entrepreneurship (RISEE)

Sifa za lazima ili kushiriki kwenye Mradi

. Vijana wa kike na vijana wa kiume wenye ulemavu wanaoishi mkoa wa Dar es Salaam 

• Umri wa miaka 18-35 wakati wa kutuma maombi 

• Elimu: Wahitimu wa Sekondari, Vyuo vya kawaida, Vyuo Vikuu na Elimu ya Ufundi stadi

• Uelewa wa lugha ya kiingereza.

Kumbuka: Kama uliwahi kushiriki Cohort (Awamu) zilizopita huruhusiwi kuomba tena au kama uliwahi kusoma course za Accenture hutokubaliwa kushiriki.

Welcome to YoWDO Connect

At YoWDO, we bridge the gap between skilled job seekers with disabilities and inclusive employers. Whether you’re seeking a job or looking to enrich your team with diverse talent, you’re in the right place. Join us in building equal opportunities for all.